MUNGU WETU NI MUNGU WA HURUMA, NI MUNGU WA WOTE. TUKUMBUKE KUMKIMBILIA YEYE WAKATI WOTE.
Karibu uutazame wimbo huu mzuri ulioandaliwa na Wanakwaya wa BMM Ujewa. Wimbo huu ni miongoni mwa nyimbo za Albamu yetu mpya itakayokujia hivi Karibuni. Kaa Tayari.
Wimbo: Wewe ni Mungu wa wote.
Mtunzi: Paul M. Biseko.
Kwaya: Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni (BMM) Ujewa.
Mpiga Kinanda: Nicas P. Chuma
Audio & Video: CF Production Mbeya.
Sound Engineer: Frances R. Choga.
Mawasiliano ya studio: 0752535908, 0753273092, cfpdoductionav@gmail.com.
Mawasiliano ya Kwaya: 0625212201