CHAMA cha ACT-Wazalendo kimejipanga vyema kuibuka na ushindi wa kishindo katika nafasi ya Urais visiwani Zanzibar na kwamba hakibabaishwi na mgombea wa Chama cha Mapinduzi aliyepitishwa na halmashauri kuu ya chama hicho Jijini Dodoma leo,Dkt Hussein Mwinyi.