Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa akichaguliwa atahakikisha kuwa kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa sekta ya umma hakitashuka shilingi 500,000 na ndani ya miaka yake mitano atahakikisha kimevuuka 700,000.
Category
Show more
Comments - 63
Related videos for Dira ya Maalim Seif kwa watumishi wa umma Zanzibar: