Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa kagera na kusababisha baadhi ya maeneo kujaa maji ikiwemo shule ya msingi Nyamkazi iliyopo Manispaa ya Bukoba,Serikali imelazimika kuchukua hatua ya kuwahamisha wanafunzi wa shule hiyo ambao ni 327 na walimu wao tisa
Mkuu wa Wilaya Bukoba Deodatus Kinawilo ameeleza kwa kina hatua zilizochukuliwa