Mabigwa wa nchi (VPL)kwa mara nne mfulilizo waendelea kung'ara uwanja wa Benjamin Mkapa kama uwanja wao wa nyumbani kwa kuwafunga wenyeji kutoka mbeya kwa mpira kumalizika ( simba 4:1 mbeya city) na kuwafanya kuendelea kuongoza kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama 73.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for Tazama magoli yote Simba ilivyoichakaza Mbeya City 41 kwa Mkapa VPL: