MAHITAJI
1. Unga wa ngano vikombe viwili na robo
2. Butter vijiko vinne vya chakula (yeyusha), gawa mara mbili
3. Hamira (yeast) vijiko viwili
4. Vitunguu saumu kijiko kimoja kidogo cha chai
5. Mayai mawili
6. Vitunguu Majani (scallion) vilivyokatakatwa kibakuli kidogo kimoja
7. Cheese kikombe kimoja na nusu
8. Maziwa kikombe kimoja na robo