TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali
#simbasc
#azamfc
#golilamiquissone
#yangasc
#kikosichasimbaleo
#simbaleo
#ligikuutanzania
#simba
#yangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#simba
#yangaleo
#simbaleo
#ligikuu
#chama
#miquissone
#kisinda
#mukoko
#caf
#tff
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#LIGIKUUTANZANIA
#ligiyamabingwaafrica
#Africa
#tanzania
Category
Show more
Comments - 125
@
@mizaeljaphet88623 years agoTatizo si uanzishaji wa mpira tatizo wapi faulo imetokea hapo alipo simama refa ndipo kosa lilipotokea huo tunaweza kusema ni uhuni wa uanzisahaji wa mpira. Kuna . ...Expand
@
@mnzavasmichael16253 years agoMwandishi unadhalilisha taaluma kwa kuandika vichwa vya habarina habari husika unakoaa weledi wa uandshi wa habari unaondo imani kwa watazamaji kuangalia. 1
@
@kamaratsalimsafari88383 years agoBao halali sawa na la simba vs nkana group stage. 1
@
@aminaabdulla85683 years agoSasa kwahiyo mnasemaje yanga mtacheza na simba au hamchezi. 3
@
@kassidpandu8663 years agoMoris ana kauli ngapi mbona baada ya mechi alihojiwa na kusema ni uzembe wao wenyewe! 1
@
@adamtours92963 years agoTim yenu tu ingefanya azam ingekuwa tofauti nahapo muwamuzi hakugiga penga kunafaidagani ya muwamuzi msitudanganye watu wote wanafahamuwaamuzi mifuko iwazi tu.
@
@athumanichato96443 years agoMorrison huwa anatufundisha mpira mara kwa mara.
@
@mnzavasmichael16253 years agoNinashauri bodi ikufungie kwa kukosa weledi na taaluma ya uandishi wa habari kwani waa ndishi wa aina yako ni wachochezi na sio wana taaluma.
@
@gelishonionesmo75183 years agoNakachukia aka kamedia balaa uyu jamaa ningemjua aliko ningechoma vifaa vyake na hasira na ww? 1
@
@juliussaitoti31123 years agoHili sio goli maana mwamuzi bado ajaruhusu.
@
@idrishemed22193 years agoHii channel inasemaga uongo tu kila siku hivi tcra hawaoni hawa.
@
@suleimansheibany71793 years agoWewe hufai hata kutangazs kifo mshamba kazi kulengeza mdomo ti.
@
@rajabumkono63073 years agoNi goli halali azam wajifunze sheria za soka.
@aminaabdulla85683 years agoKiufupi niuzembe wao wenyewe tangia lini ukuta ukawekwa eneo la penat.
@
@husseinkarim76633 years agoHuyo refa anajua kazi yake halafu fundisho kwa timuzote kubishana na refa. Sababu tunaona maranyingi huanzisha haraka ni kawaida. Hiyo akili simba pekee. ...Expand
@
@linuskyando41553 years agoRefa anawazuia wachezaji wa timu pinzani na kuruhusu timu yake aragija ikafunge goli, mechi ya yanga na simba hakuna kuweka refa. 2
@
@wazirimwingwamazige79753 years agoWashamba wapo wengi bongo si azam tu hata watani zetu.
@
@buyukubwa97133 years agoKichwa cha taarifa yenu hakiendani na taarifa ni kama ugali na mapapai makorokocho na siyo mara ya kwanza inaonekana nyie ni wapinzani wa simba mnaudhi. ...Expand
@
@amosnnko77923 years agoUtopoloo wanatuogopa ndomaan yanaropoka 2 kimbien na hii mkitakaa. 1
@
@mswakisaid23203 years agoHaka kajamaa kameokotwa mtaani hakana kazi.
@
@iddisingano12763 years agoWw ni kichaa bro kwaiy tff ndo ww sasa au? Yani unachefua sana.
@
@ayubumwanjwango72793 years agoAlafu ww mtangazaji punguza uwongo kila siku ww ndo unaleteta uwongo youtube.
@
@princeddytz3 years agoMkubwa uchambuzi huo na shelia utwambie ulisomea wap, usihisi watanzania wote ni wapuuzi kiasi icho. Kama una la kuchambua ukae kimya. 1
@
@maammudmohammad43063 years agoHivi wewe mtangazaji unajielewa kweli? Mara unasema ni goli halali mara unasema tff watoa tamko zito mara tff waipongeza simba hujitambui ww hujui soka wala hujui kutangaza michezo povuu. 5
@
@almasmanumbu93603 years agoMpira ulitoka nje hakuna goli hapo mpira ulitoka nje ya uwanja sheria gani nyie mnasoma mpira wa bongo hautafika popote.
@
@labanakyoo41773 years agoAzama wapumbav, hilo ni goli halali na mpira ulichezwa nje ya mstari akaangalie marudio mabeki wa azam walizembea kuweka ukuta.
@
@jayclass46353 years agoMikia fc awana istoria yakutufunga sisi tukiwa nnje yadar kulekigoma nasio kwamkapa sasa nimejua utyelembwe fc wakiwa nnje ya dar awana kitu nizaidi ya kubebwa tu.
@
@aminaabdulla85683 years agoChochote kile lazima mseme tungefungwa mngesema kwa taarifayenu ile ilikua penat na sio faul.
@
@reginaldmapunda67023 years agoHakuna moira was aina ilebunaweza kuupiga bila ukuta ambao refa ndiye anayeonyesha ujengwe wapi. Yote kwa yote bado soka letu linachanhamoto kubwa na itatuchukua miska kulibadili hasa kwa uongozi na marefa wa tff hi.
@
@salimharrasy70473 years agoRefa wanini ikiwa mpira unachezwa bila ya filimbi. 7
@
@filipoturuka41863 years agoTunaamuni refa anakuwa na wajibu wake sehemu kama ile kaz ya refa nikupima nakuruhusu ukuta hayo hayakufanyika nae anashukua moira umepingwa anakimbia. ...Expand
@
@almasp.selestine84753 years agoHivi nyie dunia ya sasa mnatuletea picha mgando kweli mmekosa hata clip za mechi za kutuwekea wakati tunasikiliza hayo maneno yenu au mnadhan hatuna redio. ...Expand
@
@isackdecasral61403 years agoKwa hali hii simba haitakuja kuvuka nusu feinali caf maishani mwake. Tff mnaaribu mpira bora ligi ifute kusiwe na michezo. Faulo gan nje kidogo ya 18 inapigwa pasipo filimbi na posipo. 1
@
@buyukubwa97133 years agoHilo goli linatofautiana na la nkana simba bao la tatu alilofunga chama hamjui. Sheria za mpira makelele tu. 1
@
@stanleyjuma18223 years agoUyo ni muongo ameshindwa kujitetea angalie vizuli picha.
@
@yohanakayinga92793 years agoGor harali kabisa nyambafu mmezoea kupoteza mda kulikuwa na haja gan badala ya kujipanga mmefanya fauro mnaongea na refa dawa yenu ndo hiyo.
Related videos for TFF watoa tamko zito kuhusu Simba kubebwa Goli mechi ya Azam Awathibitisha Goli la Simba ni halali: