Duration 43:20

Wasanii huwachukulia poa watangazaji wa mikoani, hawapokei simu, hawatoi ushirikiano - Fredoo Mbunji

7 706 watched
0
170
Published 27 Sep 2020

Fredoo Mbuji ni mtangazaji mwenza wa kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo kabla ya kujiunga na kituo hicho cha redio, alikuwa akitangaza Ebony FM ya Iringa. Anazungumza changamoto zinazowakabili watangazaji wa vipindi vya buruduni katika redio za mikoani

Category

Show more

Tags

Comments - 47