Dkt. Abbas amesema moja ya vitu vilivyo wavutia watazamaji wa filamu ya royal tour ni pamoja na kuhitaji kuwekeza katika sekta ya michezo ikiwa ni fursa baada ya filamu hiyo kuonyesha vivutio vilivyopo nchini
Aidha amezitaja ligi za ulaya kuhitaji kuitangaza Tanzania katika ligi zao ikiwa nipamoja na ligi ya kikapu nchini malekani NBA
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for TAZAMA ALICHOKISEMA DKT. ABBAS KUHUSU SIMBA NA YANGA KWENYE MWAKA MMOJA WA FILAMU YA ROYAL TOUR: