Mbunge wa Kuteuliwa, Humphrey Polepole akizungumza alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022, jijini Dodoma leo. Wabunge wanachangia mjadala huo kwa siku saba ambapo wanatarajiwa kuipigia kura ya kuipitisha Jumanne, Juni 22.