@sabbob5744 years agoTid still on top. Legend. U rock so many dancing floor around the world no body can take away that from u. Big up to u. Ladies another great interview. 3
@
@mahmoudaziz47174 years agoUyu msanii ni best sana tanzania. Tid anajua sana. 8
@
@hassanjecha504 years agoHuyu jamaa yuko vizur ktk kingereza na ni msanii mzuri lakin tatizo mambo mengi tu. 19
@
@lockdown46704 years agoTid was top kwa bongo. Nakumbuka alipokuja concert kenya. Sisi bado twampenda na twasikiza wimbo zake bado. 9
@
@yudatadeshayo44344 years agoTid, hemedy, gigy money, ben pool ni watu ambao mb zangu watakula sana very open kwenye interview zao. 2
@
@alibinali_4 years agoKama wanipenda ninunulie zeze niki lala kitandani zeze lanibembeleza that is t. I. D remember that song when i was in school. 1
@
@aminathaabubakarmasoud5654 years agoBrother tid leo umetulia mashaallaah, afu ukiwaga hivyo sikuzote unapendeza mnoo. 1
@
@lovvy8544 years agoTid ni kigogo wa sanaa manbo cheche na bado yupo juu tu sana anatisha kinyama namkubalii.
@
@azzamahamdu70394 years agoTop in dar/ tid. Tid is a full package jomon zezekipndi ni kizuri lkn mda wachosha. Punguzeni mda kdgo. 1
@
@alimbwana59524 years agoMars you so Chicky with your eyes,love you crew 3
@
@godfreymlay51064 years agoSindi uko vizuri sana unajuwa kazi yako nini ila wenzako wanauza sura.
@
@eastcuisines1244 years agoLeo ndo nimejua maana ya tid. " top in dar" 1
@
@yassersahin66394 years agoMimi mars amuite daimond umuhoji hapa. 1
@
@alirashid32394 years agoLeo ndo umetulia na umeongea kiutu uzima kuliko interview zote. 15
@
@sambesk27194 years agoTid. Kumbe ukihojiwa na wanawake huaga unatulia hivi. 1
@
@alibinali_4 years agoT. I. D this guy is dop katika wasani wingi wa tanzania huyo jamaa ako juu in english. 2
@
@arakazakinglight42534 years agoComme si, comme a ## t i d ni fool paquage, welcame in french systm, from.
@
@subrynerysegerow13234 years agoJamani corona hakuna tunawataka mrudi studio bwana we ah.
@
@oliviermukulikire9964 years agoNi kweli kabisa iyo ngoma ya nyota yake imevucha record pote kabisa.
@
@nickjuma39374 years agoTid umesahau! Hata baba levo alikwenda jela!
@
@bellabakera4 years agoGuys i think you should try to accept people the girl in the right side she is like that. 2
@
@kizinja78734 years agoTid unanimalizia bando langu mbwa ww yani daah nakkubali sana.
@
@issaissah88324 years agoKuwa kwenye gem muda mlefu sio issu mafanikio ndio issu. 1
@
@maomacatta97704 years agoTid hana jipya ubishoo umepitwa na wakati umeanza jabla ya diamond lakini mwenzio yuko juu hana ubishoo.
@
@omarykiduka83074 years agoKiukweli tid kama umerud mzki umebafilika.
@
@munyemanahassan78074 years agoTid leo naona umetulia na unaongea sawa, lazima jifunze kubadiri past, ndani yako kuna uwezo mkubwa.
@
@muthegreat36674 years agoSija wai ona td katulia kam kwenye hiichi kipindi.
@
@monicawanza21004 years agoNlithani dada mwenye ako right yuwamchukia tanzania sweetheart kumbe ni maumbile yake, hawezi smile hata kidogo. 3
@
@blandinamnyinga83184 years agoUongo mwingine hadi viganja vinawaumbua.
@
@LeeUfudu4 years agoKiingereza ni lugha tu kma lugha zingine. 1
@
@Qtep-eb3og4 years agoNyie wadada hampendi huyo dada mnjano kama yote mshaurini mwenzenu kila kipindi make up kama jini. 5
@
@samwelsengati13694 years agoAchen kupumbaz watu kwan kuongea kingereza ndio nn. Kingerez n lugha sawa na kimakonde. Tofaut nn lugha y kimataif. 1
@
@maryamabdallah31404 years agoDunia mataa. Kila jambo litapita, tumpende muumba tusipende vilivyoumbwa, tumrudie muumba.
@
@jassminjamal83054 years agoHuyo dada anajiita mwilu naona hapo hapamufai hachagamki unaonaje mka mpakazi nyingine hapo mfai.
@
@sumayahfathi94134 years agoTatizo mashauz meng, unaongea kwa madoido na hicho kilevi unachotumia jitaid ukiache, unaongea sana tu. 5
@
@jacklinejames10504 years agoHili libibi linavyosemaga " watotopampas.
@
@seifmohamedseif94674 years agoSio tatizo kwa baba yako kuhusu mzik hata kwa mungu mziki ni haram.
@
@silverman69304 years agoWhats wrong with this gal on the right try and smile please damn, you look miserable as seen otherwise. 4
@
@Rashidmhedhery4 years agoPumbavu, zungunza kiswahili mkundu wewe! 1
Related videos for Mimi sio msomi,Kiingereza nakijua vizuri Kuna mtu aliwahi niingiza kwenye madawa ya kulevya: