Katika tukio lililotrend kwenye mitandao ya kijamii la prodyuza mkubwa S2kizzy kuvamiwa katika studio yake na kufanyiwa vurugu pamoja na vitendo vya kinyama.
@robbemanase90514 years agoHongera sana carry mastory, una reporters bora zaidi ya wengine, wame report hili tukio kwa ufasaha zaidi na kueleweka zaidi. baada ya kuwashtaki huu ni unyanya saji wa hali ya juu hauwezi vumilika, sheria ifuate mkondo, lawyers wajitokeze kutengeneza pesa hapo, pasu kwa pasu, ushahidi wite upo hapo, lazima kampuni iwajibishwe. ...Expand14
@
@BEINGANASTAZIA4 years agoThis made me cry, inaumiza sana. I hope justice will prevail. 6
@
@aminamwangile40204 years agoMaelezo ya binti huyu yamenitoa machozi dah poleni sana. 3
@
@Mamatonny20654 years agoHapo kuna vigogo na watu maarufu wanahusika na unyama huo. chunguzeni mtapata majibu. poleni sana na mkasa huo. 3
@
@lilianhope20754 years agoDah polen saan ndugu zangu maumivu mliyonayo n makubwa saana mungu awape wepesi, 1
@
@ladymuna49454 years agoNaomba ikiwezekana hatua kali ichukuliwe. Kisha na wao wazalilishwe wavuliwe nguo wafanyiwe walivyo fanyia wengine. Ili liwe funzo kwa watu wenye tabia. ...Expand2
@
@emmyanold56354 years agoPole dada ang utapona tu hzo ni changamoto my dea. 2
@
@faridaiddi1044 years agoPoleni sana dah wapenxi muwe kazi mnafunga jpo saa sita ucku.
@
@simonmwembe6393 years agoNimelia kama yamenikuta mm pole sana wachukuliwe hatua kifungo cha maisha kabisa wajalana hao.
@
@totobad62284 years agoPoleni san kam watuhumiwa wame kaririwa sura bax sheria ita fanya kaz yake. 3
@
@magejosia90264 years agoAise hao mbwa wachukuliwe hatua kali sana tanzania yetu ipo huru why wakawapige watu tena ndani ya studio jamani so sad mm imeniuma mnooo. 3
@
@baimarrajahbuayan62374 years agoDaa, mitihan kabisa polen tz hi kila kukicha mapya yaibuka. 3
@
@agnessmluge57844 years agoMungu wangu zaidi ya unyama huu, poleni sanaa.
@
@renfridaflorence43804 years agoEee. Mungu wa huruma atuhurumue wanadamu. Poleni sana.
@frenkfrancis41514 years agoUyo mama mwenye kiti akamatwe pumbavu sana uyo mama mwenye kiti akamatwe pumbavu sana. 1
@
@Alimahrooi4 years agoTz ni paradise lakini yanaotekea inavunja moyo hata kuja kuona ndugu na rafiki. 5
@
@madpusher20363 years agoAo makuma wanampiga dada mzuri namna hiyo.
@
@thisiszai20454 years agoMtangazaji unafanya kazi yako uzuri sana na umeonyesha una moyo waku jiweka kwenye nafasi ya wausika kuumizwa. 3
@
@kibongobongo46084 years agoUhuru, haki na maendeleo ya watu tarehe 28 tuyamalize yote haya. 7
@
@wardeeswai7164 years agoPole sana salma mdogo angu achana na hayo maisha.
@
@erickambwilo30344 years agoWachukuliwe hatua na walipe fidia na garama zote. 9
@
@najmasaleh55364 years agoDaa inaumiza sana allahawalani atawaonesha mbwa hawo. Polen sana husada tuu. Wa chukuliwe hatuwa ya kuzalilisha watu. 1
@
@africanchocolate42164 years ago1: hiyo kampuni ya acher au walinzi shirishi ama sungusungu au vyovyote inavyo itwa kama ni security company, ifungwe na ku futwa mara moja 2: w 3: walipe gharama za vifaa vyote vya studio na tena wanunue vyombo vipya vya hiyo studio pamoja na milango, mageti, madirishana simu zote za wasanii ikiwemo fedha walizo iba! Walipe gharama za matibabu yote ya hospitali ikiwemo gharama za chakula, vinywaji, dawa na usafiri wa walio onewa pamoja na usafiri wa management ya hao wasanii siku zote kuanzia siku ya tukio mpaka watakapo pona kabisa. 4: wawalipe gharama za malipo yaliyo kuwa yame pangwa kulipwa hao wasanii pamoja na fidia za management ya wasanii akiwemo producer na mshahara wake! Au mishahara yao kama kuna zaidi ya ma-producer (producers) walio shiriki katika kutimiza production ya album inayo andaliwa! Gharama za wapiga picha na video ambao wali kuwa wame tayarishwa ku fanikisha project nzima, wakiwemo watu wa beauty industry, kama make up artists, sound engineers, waandaaji na kutayarisha majukwaa au platforms! Pia hao walio umizwa walipwe siku zao zote mpaka watakapo pona, kwa sababu hawato weza ku ingiza ridhiki yoyote baada ya afya zao ku dhaifishwa kutokea siku ya tukio hili la kikatili! 5: hao wahalifu wavuliwe nguo, kisha wachapwe na kupigwa kwa marangu, vibao na ngumi kisha watupwe jela kwa muda mrefu sana ili iwe fundisho kwa wengine! Haki. ...Expand8
@
@zaituniluhwano24534 years agoTanzanianm nchi ya amni lkn vitendo vinavyofanyika so sad. 2
@
@barakamshiu71464 years agoEven if the studio had weed, the company was wrong on their means of attacking the studio. 6
@
@safinachitanda15174 years agoAise inaumiza sana udhalilishaji mkubwa sana jamani tuwe nautu sisi sote ni wa moja kwann tunatendeana unyama huu inackitisha. 1
@
@lussevv17164 years agoDa ebwana azizi cassim school mate wangu duu pole sana niga du kumbe upo mzee aisee hao ni watu gani wasio mjua s2kiss kiasi hichoo aisee.
@
@ilynpayne74914 years agoHii nchi kumbe mtu anaweza vamiwa na kupigwa bila sababu yoyote ndomana hatuna imani naserikali. 1
@
@pascallyimo51064 years agoMimi ningekua naningekua katili zaidi duniani, hawa mbwa wangeipata fresh.
@
@clintonnasib70794 years agoAm sorry for what has just happened my dear brothers and sisters sorry s2kizzy. 1
@
@flevouronlinetv1334 years agoHik nikitendo cha uzalilishaj ila polen san sheria itafuta mkondo wake usijal dada ang na wala usilie san. 4
@
@aminatanzanya74754 years agoHivi hiyo studio ipo sehem gan nasungusung kazi yake kulinda watu au kupiga watu aisee huyo dada kaniliza polen sana. 1
@
@thomastemu99384 years agoAway mgambo sijui walinzitena kipindi hiki cha uchaguzi anko magu anawaangalia wasanii, mjumbe umeisha. 2
@
@paskalmsavange21214 years agoNa huyo mjumbe alipe vifaa vyetu vya mziki. 2
@
@furaharobert60474 years agoRoho mbaya tu watafutwe wote na huyo mjumbe ngese saana mxiu. 4
@
@mboytz123 years agoJeshi la police litafanya kaz yake na wakamatwe walifu. 1
@
@agnesgervas80704 years agoDaah polen unashindwa hat u comment nn yan mpaka machoz yamntoka duh walimwngu jmn wngn hatuna huruma yan kupgwa bad navitu vyao mnabba nakuharbu vitu. ...Expand3
@
@rozzymosses26014 years agoDaah hapo kuna maswala ya wivu tu poleni san.
@
@angelbwija95474 years agoDuu pole sana jamani ni huruma sana kabisa.
@
@savavibes4 years agoHuyu dada alivyo mzuri yan anatakiwa ashukuru sana mungu maana amesalimika sana tena mnoo. 13
@
@RoseRose-qj5pw4 years agoAmeniskitisha huyu dada sheria ifatilie na washtakiwe.
@
@lovenesshenry26714 years agoSo sad inaumiza sana kiukwel bt sheria itafata mkondo.
@
@juliasmihwela13264 years agoTatizo hua hamtujuzi mwisho watukio kwamba hao waliofanya huo unyama wamechukuliwa hatua za shelia?
@
@zahrarashid60864 years agoPolen hao watapatikan tu tena watazibiw vikali.
@
@mapenzi_tz15114 years agoSungu, hao wanatafuta visababu vya kuiba wakijifanya wanalinda, mm nilishawai wachenjia wamenikuta hom wananiuliza naishi wapi, kifupi sungu wasikuizi miyeyusho wengi wanashirikiana na wezi.
@
@allymkangara56954 years agoHawo walinzi kwanza sheria hawajui wakamatwe haraka.
@
@pioustrevol34684 years agoThis is not fair, is humiliation uwez ingia kwa office ya mtu ukajudge km ivo ile n studio ya sanaa all people there are artists xx uyo mjumbe altaka wawe wanavaa nn mabazee au vitenge. 2
Related videos for DADA ASIMULIA KWA VILIO MKASA MZIMA WA S2KIZZY KUVAMIWA/MREMBO ALIVYOFANYIWA VITENDO VYA KINYAMA:
baada ya kuwashtaki huu ni unyanya saji wa hali ya juu hauwezi vumilika, sheria ifuate mkondo, lawyers wajitokeze kutengeneza pesa hapo, pasu kwa pasu, ushahidi wite upo hapo, lazima kampuni iwajibishwe. ...Expand 14
chunguzeni mtapata majibu.
poleni sana na mkasa huo. 3
wapenxi muwe kazi mnafunga jpo saa sita ucku.
polen tz hi kila kukicha mapya yaibuka. 3
tarehe 28 tuyamalize yote haya. 7
2: w 3: walipe gharama za vifaa vyote vya studio na tena wanunue vyombo vipya vya hiyo studio pamoja na milango, mageti, madirishana simu zote za wasanii ikiwemo fedha walizo iba! Walipe gharama za matibabu yote ya hospitali ikiwemo gharama za chakula, vinywaji, dawa na usafiri wa walio onewa pamoja na usafiri wa management ya hao wasanii siku zote kuanzia siku ya tukio mpaka watakapo pona kabisa.
4: wawalipe gharama za malipo yaliyo kuwa yame pangwa kulipwa hao wasanii pamoja na fidia za management ya wasanii akiwemo producer na mshahara wake! Au mishahara yao kama kuna zaidi ya ma-producer (producers) walio shiriki katika kutimiza production ya album inayo andaliwa! Gharama za wapiga picha na video ambao wali kuwa wame tayarishwa ku fanikisha project nzima, wakiwemo watu wa beauty industry, kama make up artists, sound engineers, waandaaji na kutayarisha majukwaa au platforms! Pia hao walio umizwa walipwe siku zao zote mpaka watakapo pona, kwa sababu hawato weza ku ingiza ridhiki yoyote baada ya afya zao ku dhaifishwa kutokea siku ya tukio hili la kikatili!
5: hao wahalifu wavuliwe nguo, kisha wachapwe na kupigwa kwa marangu, vibao na ngumi kisha watupwe jela kwa muda mrefu sana ili iwe fundisho kwa wengine! Haki. ...Expand 8