Duration 28:3

Maalim Seif akutana na mawakala wa Unguja, awaambia uchaguzi wa mara hii ni wa ukombozi

47 659 watched
0
346
Published 21 Oct 2020

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana hivi leo na mawakala wote wa kisiwa cha Unguja na amewakumbusha kwamba uchaguzi wa mara hii ni wa kutetea mamlaka na ukombozi wa Zanzibar kwa ajili ya vizazi vyao.

Category

Show more

Comments - 374