DStv kupitia Channel yake maarufu ya Magic Bongo imezindua rasmi tamthilia ya Karma ambayo ndani yake kuna wasanii maarufu Tanzania akiwemo @wemasepetu.
@wemasepetu amefunguka kuhusu Tamthilia hiyo mpya na kuelezea mazuri yaliyo katika Tamthilia ya Karma.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for DSTV WAZINDUA TAMTHILIA MPYA 'KARMA' WEMA SEPETU NDANI YA NYUMBA :