Huu ni mti uliopo katikati ya jangwa nchini Jordan katika mji wa Busra.
Ni mti wenye historia kubwa kwa kuwa ndio shehemu ya kwanza kutambulika utume wa Mohammad ( S.A.W ) na umedumu kwa miaka zaidi ya 1500 unaitwa SWAHABA ALIYE HAI.
Serikali ya Jordan imeujengea uzio ili kuulinda.
Category
Show more
Comments - 283
@
@NusuraJuma-fj3gtlast monthAllahu aqbar lailaha ilallha yaallah mpe her na baraqa nabii muhammad swala llahu alaih wa salam na utuongoze imma wake katika kheri na njia iliyo nyooka na Inshaallah utukutanishe peponii yaallah wabariq viongoz wetu wenye kupamban na kufanya jitihad zakuuzid kuutangaz uislmu na Inshaallah doctor Sulee allah akulipen na akupeni nguvu mpaka siku ya malipoo ...
@
@lukmanyusuph93452 years agoMashaallah eewe mola wetu tujaalie mwisho mwema 3
@
@ahmedkamenya19833 years agoUmeenda tofauti rudi tena Madrasa, ukaisome vizuri sira 4
@
@bellbell92943 years agoMaashaa Allah tabaraka Allah shukraan kwa ujumbe mzuri Sana Allah akulipe kher 2
@
@othmanmohammedhabibu78223 years agoSubhanaAllah ARRAHMAAN akulindeakuhifadhimsimuliziwetu
@
@janecosmas81839 months agoMashaAllah nimefurahi tu sana kusikiza hicho kisa
@
@DloveAfrika3 years agoMaashaAllah, shukran kwa makala hii sheykh 3
@
@rashidkhalifa353 years agoThat is good and we need continuation of it 2
@
@matatasaid7333 years agoDaah! Hakika inapendeza mpaka inasikitisha 1
@
@swalhashuaibu81493 years agoWallah mta ulizwa nyie na wallah mtume aliwahi kusema kama katika marafiki yake au katika maswahaba wake ni mti laaaaa wazushi mnamtihani Sana wallah 1
@
@marrowog89753 years agoSwala allahu alaih waswala, allahu akbar 1
@
@ommaryrichard92983 years agoMashallah Allah amuifadhi huyo swahaba
@
@abdulmalickupete90153 years agoNia bora ya mwandishi inaharibiwa na maoni ya wapuuzi wasiozingatia historia hizi ni ishara za uwepo wa maamuzi ya mungu kwa juu ya utume 1
@
@thesalafifoundationTz6 months agoASSALAAM ALAYKUM...ENYI WAISLAMU HAKIKA SWAHABA NI MTU ALIYEKUTANA NA MTUME SWALALLAAHU ALAYHI WASALLAM NA AKAMUAMINI NA AKAFA HALI YA KUWA YEYE NI MUISLAM SASA HUU MTI HAUWEZI KUWA NI SWAHABA KWA SABABU UMEKOSA SIFA YA KUWA NI MTU ...
@
@abdulwahabismail54473 years agoMa sha Allah. Kindly avoid using pictures when discussing the prophet and his Sahabas. 1
@
@mohamedfaris30003 years agoMtume kazaliwa Makka lakini wakati huo hakukua na Saudi Arabia!! 3
@
@nurdinikisoma54522 years agoWew acha abali zako mti auwezi kua swahaba aujui taarif ya swahaba ludi kwa wanqchuobi
@
@thesalafifoundationTzlast yearASSALAAM ALAYKUM WAISLAM MNATAKIWA KUSOMA DINI YENU KWA WATU SAHIHI ILI MUEPUKANE NA WAPOTOSHAJI KATIKA DINI MAANA YA SWAHABA SHARTI LAZIMA AWE NI BINAADAMU SASA MTI TANGU LINI UKAWA NI BINAADAMU AMKENI WAISLAMU ...
@
@nurudinibakari57013 years agoPamoja na swaga zote hitimisho ni kuwa tutumie akili za kidini huu ni Mti huu si Swahaba au maana ya Swahaba itakuwa hajui. Ama Swahaba wa mwisho kabisa ni Abu Tufail bni Amiril Laithiy mwaka 100H.
@
@allygoodboytzsdoneintanzan39703 years agoAllahu Akbar inshallah Allah Akbaru Allah
@
@mussaissa67963 years agoMti hauwezi kuwa swahaba mzee Swahaba ni mtu aliyemuona Mtume s.a.w na kumwamini Sio mti Kwa hiyo acheni fiksi 1
@
@abubakariali98483 years agoDuuh..! Mama yake Mtume alifariki, Mtume akiwa na miaka 6 1
@
@husseinmohamed62983 years agoNani aliyekwambia kwamba Abuu twalib hakusilimu? 1
@
@hassanbinuri94123 years agoUmefeli hapo mwisho abuutwalib nimuislam
@
@ibrahimissango10833 years agoKumbe mwanazuoni ndo alimpa mtume na sio mungu
@
@mfakimalengo64373 years agoMaelezo hayo sio ya ukweli: swahaba ni yule aliyekutana na mtume na akamuamini mtume na akafa ktk iimani ya uwislam huyu ndio swahaba. 1
@
@kilimodiwanikilimodiwan356811 months agoNaomba kuuliza, mji wa Maka upo ndani ya bala gani?
@
@nicholauskilosa533611 months agoYaani mkristo ndio mtu wa kwanza kujua utume wa Muhammad!!! Mbona sasa hamuwaamini kama wacha MUNGU
@
@salimaliy52433 years agoMtigani kwaulimwengu huu unatimizamika 1500
@
@abuusaad57913 years agoSahaba mti methibitishwa wapi na uislamu (Din)?
@
@issaidrisamusa84373 years agoHakuna swahaba aliyehai tusidanganyane HII DINI IMEKAMILIKA
@
@bonifaceomallya92013 years agoKumbe ukristo ulianza kabla hata ya Muhammad
@
@binali38713 years agoAchauongo tokealini mti kupata sifa ya uswahaba
@
@jaystartz13063 years agoMpaka waislamu wanasema jamaa muongo kweli hii halipo kwenye quran
@
@abuuirfaan7403 years agoKwanza unatoa history mbovu achana kueleza mambo ya dini wakati ww ndi mtu wa hawaaa
@
@yasakilube99463 years ago‘Swahaba’ maana yake ni Muislamu aliyemuona(alisuhubiana nae) Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam), akamfuata na kumuamini na akafariki katika imani hiyo. Na hii ina maana kuwa, yeyote aliyewahi kumouna Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) na asimuamini, basi hawezi kuingia katika maana ya neno ‘Swahaba’. ...1
@
@zanoceantourssafari.74773 years agoHuna kazi weee utawaburuz ao wakiristo wenzio.lkn muislam as hatosem hyo..nenda ukasome ujue ukwel chiz wee
@
@user-ck9qt2xu8e3 years agoSio wazima nyie. Hivi kuna swahaba aliyekuwa mti au mnyama? 3
@
@kedrickbenedicto92544 years agoHawandio wanaoibia watu na maji ya mto jodan mitikamahii inatakiwa kukatwa watu wanafanyia ushirikina 1
@
@hadijanassor70033 years agoSASA MTI SAHABA AU HADITHI YA MTUME.? KWANINI USIONGELE JIHAAD..!😠😠😠😠 ACHENI KUPUMBAZA WATU NYINYI... 1
@
@farajimtana1233 years agoSasa Mti na sahaba vina husiana nini SIRA uliyo elezea kwa kiasi flani ipo vizuri ume koroga hapo tu sahab aliye, hakuna sahaba aliye hai huo Mto sio sahaba
@
@yussufmwinyi46044 years agoMaelezo haya umeyatoa katika kitabu kipi cha seerah? Ulibaini usahihi ? Unaupotosha umma 2
@
@ramshboy62183 years agoNimzur ila kuna kitu ulikosea kidog bro mtume muhammad s.a.w alipo zaliwa tu mamayake alifariki na kunyonyeshwa na amina bint wahababi
@
@stevensteve75193 years agoKwahiyo ikiwa baba yake mdogo mtume Muhammad hakuwahi kuwa muislam hadi anakufa je alikuwa muumini wa dini nyingine? Au hakuwa na dini kabisa kwamaana alikua mpagani?
@
@mussaissa67963 years agoLabda huo mti mngeuita Alama pekee inayoishi na historia ya maisha ya Mtume Muhammad s.a.w
@
@jumanneissa82263 years agoHapo ndo utagundua upumbavu wa watu kielimu swahaba ni mti? Innalillah wainnaillah rajoon ni dalili gani ktk Quran au sunna kwa mafundisho ya waja wema walio tangulia someni
@
@jumamohamedi44953 years agoNingekuwa ndio kiongozi Wallaah ningeufekelea mbali huu mti.
@
@salimaliy52433 years agoWajinga ndio waliwalo, msikilizeni tu mjingauyo sasaivi atachangishawatupesa ili awauzie hayomajani
@
@eng.saalim86463 years agoacheni kupoteza umma. mnataka kupata pesa kwa kivuli cha dini
@
@raqmaanu4663 years agoIslam sio ile dini ya papai kaleta yesu ndiiiyoo Huna elimu huna dalili ya kuran na suna kaa pembeni usilete uchafuu katika dini ALLAH ATUONGOZE
@
@babanusayba36003 years agoNani amewatangulia kwa taarifu hiyo kuwa mti unaitwa swahaba ? Mcheni Allah wajinga nyinyi 1
Related videos for HUYU NDIYE SWAHABA PEKEE ALIYE HAI.:
WAISLAM MNATAKIWA KUSOMA DINI YENU KWA WATU SAHIHI ILI MUEPUKANE NA WAPOTOSHAJI KATIKA DINI
MAANA YA SWAHABA SHARTI LAZIMA AWE NI BINAADAMU SASA MTI TANGU LINI UKAWA NI BINAADAMU AMKENI WAISLAMU ...
Swahaba ni mtu aliyemuona Mtume s.a.w na kumwamini
Sio mti
Kwa hiyo acheni fiksi 1
HII DINI IMEKAMILIKA
Na hii ina maana kuwa, yeyote aliyewahi kumouna Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) na asimuamini, basi hawezi kuingia katika maana ya neno ‘Swahaba’. ... 1
Alama pekee inayoishi na historia ya maisha ya Mtume Muhammad s.a.w
Huna elimu huna dalili ya kuran na suna kaa pembeni usilete uchafuu katika dini
ALLAH ATUONGOZE
Mcheni Allah wajinga nyinyi 1