Mbunge wa Viti Maalum Singida Martha Mrata ni miongoni mwa Wabunge waliopata nafasi ya kuwasilisha Bungeni mapendekezo katika makadirio ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 leo June 14, 2017 ambapo alilieleza pia Bunge changamoto zinazowakabili Wapiga Kura wa Jimbo la Singida Mashariki linaloongozwa na Mbunge wa CHADEMA Tundu Lissu…